Download

menu

Pages

Sunday, 24 March 2013

TQNZANIA NI SAMATTA SAMATTA KILA KONAA: TANZANIA 3-1 MORROCCO

Mbwana Samatha katikati wakishangalia bao
 Huyo ndio mchezaji ajulikanae kwa jina la Mbwana Samatha, Ndio Aliye ipatia Taifa Star Mabao wawili dhidi ya Morroco Leo ...Nakuweza kupata Ushindi wa Bao 3-1..Thomas anacheza Mpira wa kulipwa huko Kongo na Team ya TP Mazembe...Picha Zaidi Hizi Hapa Chini  katika Mapozi Mbali Mbali:
Mbwana Samatha

Mbwana Samatha Akimtoka Mchezaji wa Kameroon

Mbwana Samatha akishangilia Bao

No comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About

Urassapixel