Mahakama ya Rufaa Tanzania imetupilia mbali mashtaka ya walokuwa wanapinga ushindi wa Godbless Lema na kuomba mapitio ya Rufaa tena na mahakama imewaamuru tena wakata rufaa walipe gharama zote za kesi. Wafuasi wa CHADEMA wanashangilia sana muda huu eneo la mahakama
Monday, 22 April 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment